HayupoooHivi putin ni sehemu ya kikosi?
πππHawa wapange hivi hivi tarehe 8
Huyu achelewi kususa uziAise, laiti ungejua π Haya, siongei sana
Itakua unaangalia marudio ya mwaka jana weweMechi imeanza, tujuzeni please.
Kwanini?Wewe ni ndugu na Lucas Mwashambwa ?
MAMA BOMAYEEE .........na kazi iendelee kwa bwana BenjaminiAtachangia mwenyewe
Kaka tarehe 8 naziona 8bado haijaanza tuko uwanjani
Tuliza kichwa hiko, tarehe 8 sio mbali.Kwamba hicho kikosi ndicho cha kumkaba Prince Dube, Baleke, Pacome, Mzinze, Ki?? π kwamba Awesu atampita Bacca, kouassi Yao?? Sijui nachekq niniπππ
Utapigwa kama ngoma mkuuTuliza kichwa hiko, tarehe 8 sio mbali.
Hapa mchezaji ni no 10 wengine ni matapeli tuStarting XIView attachment 3060678
Tutawapangia kama Ihefu walivyopanga MbaraliKwamba hicho kikosi ndicho cha kumkaba Prince Dube, Baleke, Pacome, Mzinze, Ki?? π kwamba Awesu atampita Bacca, kouassi Yao?? Sijui nachekq niniπππ
Tupp humu jukwaani. Itajulikana tu.Utapigwa kama ngoma mkuu
Mpuuzi yule.
Tuliza kichwa hiko, tarehe 8 sio mbali.
Simba alimfunga yanga 5-0 na alimfunga yanga 6-0 haha
Sawa lakini sijajua hiyo jeuri unaitoa wapi, Simba akifungwa hiyo siku it's not a big deal lakini Simba akishinda ndo tutajiuliza what happenedTupp humu jukwaani. Itajulikana tu.