Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Oohoooooo.....Bado tupo kwenye preseason..kocha anaendelea kuingiza falsafa zake...so hii mechi hatuangalii matokeo bali mfumo mzima wa uchezaji wa timu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oohoooooo.....Bado tupo kwenye preseason..kocha anaendelea kuingiza falsafa zake...so hii mechi hatuangalii matokeo bali mfumo mzima wa uchezaji wa timu
Mmeanza!!! Tena mmeanza mapema mnoooo 😹Tulia mambo bado..
Ndo kwanza Timu yote ngeni Wachezaji wanasomana kwanza
Mabadiliko Huchukua Muda
Tena sana kakaBall posession 70%-30%
Simba ina balaa
Up sahihiNadhani NGOMA na MZAMIRU wamekosa ubunifu...
Lakini forward inaonekana iko fast..
😁🤣Mbona hizi camera za Azam sizilewi ndiyo camera za 500m kweli?
Sio kumi?Kwa Simba hii, Yanga inaenda kuibuka na ushindi wa goli zisizopungua 3 tarehe 8.
Simba imeelemewa sana?Kwa Simba hii, Yanga inaenda kuibuka na ushindi wa goli zisizopungua 3 tarehe 8.
Kabiisa mkuu falsafa za kocha ndio zinaingizwa kwenye kikosi wachezaji wawe na chemistryKama ni kuunda timu Sawa.
Match fitnessHuyu kipa vipi kaguswa na nani