Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
Timu hunaDuh, Utopolo mmeanza Lawama Mapema sana
Uwongooooo ukoooNinii hii kinaoneshwa hapa... Yaani irregular shape football huelewi ni mfumo gani, pattern of playing ni zipi watu wanagonganga pasi za hovyo huoni flow yeyote ile yaani hapa hakuna kitu.. Mangungu ajiandae kutukanwa mapema sana kuliko ilivyotarajiwa
Waganda wapi weweWaganda pigeni hao vijibwa koko
Kama alivyokosa Aziz KiWamekosa penalty?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😁😁😁Bado hakuna timu hapa mpaka sasa. Labda tuendelee kusubiri
Kumbe wewe ni kolo🤭😂😂😂😂😂😂Wanakosa penati muhimu akina Messi na Ronaldo itakuwa hii ya Mutale simba day
Utaelewa vp kuhusu mfumo wakati huna hata leseni F ya CAFNinii hii kinaoneshwa hapa... Yaani irregular shape football huelewi ni mfumo gani, pattern of playing ni zipi watu wanagonganga pasi za hovyo huoni flow yeyote ile yaani hapa hakuna kitu.. Mangungu ajiandae kutukanwa mapema sana kuliko ilivyotarajiwa
Duh mshaanza kulilia penalty kweli hakuna timu hapaHawa wapuuzi wanalalamika nini ile ni penati clear
Ubaya ubwela🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama alivyokosa Aziz Ki
Kama alivyokosa Baca.Kama alivyokosa Aziz Ki
Na Pacome, Yao mwaka janaKama alivyokosa Aziz Ki
Haa kumbe Rwanda kwa kagameWaganda wapi wewe