Labda wewe tarehe 8Uto wamekimbia uzi
WabonyokwaFernandeeeeeeeeeeeez ananikumbusha frank lampard
Hata kama kuna ubovu ila hatujafika huko, labda kwa Orlando hapo.Simba ina changamoto kama za Kaizer Chiefs.
Sema kweliWamepata🤣
Tajiri usikasirike, utapata presha mpaka msimu uishe kwa simba hii. Hapa bora uhamie Pamba Jiji utakuwa salamaTutolee kelele, tengeneza timu yako kha! Wabongo taabu kwelikweli, unataka malaika ndio wacheze?
Hawataki😂Simba Imezaliwa Upyaaaaa
Nayeye anaoteabAngekua Aziz ki tungehesabu goli
SAIV ni SANDASimba makopo simba makopo yanga imara yanga imara