Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Sawa ila mara ngapi mmeshndwa mechi kwa yanga??Kumbe we Kichwa Maji
Unafki huuMutale out
KamaBalua kapiga shuti kali sana yani ime cave
Watakufa😁Boka na ule uzee atamkabaje Balua na Mutale?
Upo?Baada ya kupata kimoko cha tabu
Leta video goli la 5 likiingia na Mimi niweke yangu
Sisi ni wamoto sanaSimba sasa hv anayetoka moto anayeingia moto
🤣🤣🤣Wewe ndio shabiki wa 5imba unaejua mpira kuliko wote msimu huu,una kitu cha ziada.
NdotoKama
Watakufa😁
Hatuna siku yetu ila kuna kilele cha wananchiLeo ni siku yenu
Unaruhusiwa Kuota. UBAYA UMERUDI😄Tarehe nane tutaelewana, sisi Yanga hatunaga maneno mengi, ni vitendo tu. My wetu lazima tukupige 7
Risiti kutoka kwa ndugu yangu hiiSisi ni wamoto sana