Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Igeniā¦. MfeAhmed kwa maneno š
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Igeniā¦. MfeAhmed kwa maneno š
Unaikumbuka kauli ya Gamondi kuwa Simba ikija kistaarabu itafungwa mchache tu, ila ikijifanya mjuaji kutaka kulipa kisasi itapokea kipigo cha mbwa koko. kwa maneno yako haya utakuwa unawachongea kutengenezewa kipigoSawa ila tarehe 8 utatoa utelezi
Hili swali limeshaexpireSandaLand the only one. Dogo anauliza sasa kwanini wamefupisha to sanda
Unamjua Manara au unamsikia? Yupo na mwenzake KamweIgeniā¦. Mfe
Mimi ni Simba, lakini amini au usiamini, Simba kuweza kushika hata nafasi ya Nne msimu ijayo itabidi ipambane haswaa.Kikosi hiki cha Simba kitabeba ndoo hakika. Sijawahi kukosea kwenye utabiri
Wananchi tumepanga kumzomea Manara keshoUnamjua Manara au unamsikia? Yupo na mwenzake Kamwe
Aliyeuliza ni simba lia lia sasa kwa taarifa yako.Hili swali limeshaexpire
Mbanie kabisa anazingua kutuchanganya snaš¤£š¤£š¤£š¤£Basi naacha..
Kwanini?Wananchi tumepanga kumzomea Manara kesho
Likisha expire huwa haijalishi limeulizwa na naniAliyeuliza ni simba lia lia sasa kwa taarifa yako.
Oooooh nimekosea , lindi moja hamjambo huko ?Mkuu! Mimi mbona sio mtu wa Dar!
Pole kwa kunifananishaāŗļø
Mlijibu nini nimwambie hapaLikisha expire huwa haijalishi limeulizwa na nani
Anaondoa stability kwenye idara yetu ya habariKwanini?
HatujambošOooooh nimekosea , lindi moja hamjambo huko ?
Mwambie acheki na mkandarasi ndugu Sanda Omari YengaMlijibu nini nimwambie hapa
Hayo mambo ya kuzomea zomea sidhani kama yana mantiki yoyote. Kama hajafiti uongozi upo utamuondoaAnaondoa stability kwenye idara yetu ya habari