Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo kazi yake inampasa kufanya hivyo.Ahmed kawakariri woteeeee
KabisaNdiyi kazi yake inampasa kufanya hivyo.
Kibu alijua anaenda Ulaya ghafla yupo Tz😂😂😂Kibu anaona aibu
Feels guiltyKibu anaona aibu
Bila 1 usd billion hauzwi 😂Kibu alijua anaenda Ulaya ghafla yupo Tz😂😂😂
Unafikiri ulaya mchezo😁😁Kibu alijua anaenda Ulaya ghafla yupo Tz😂😂😂
Nimelia🥹🥲😟😣😪Unafikiri ulaya mchezo😁😁
Yaani hapa nipo kusubiri tu mikeka yangu, mechi nitapata updates humu humuAcha kusumbua wewe, huna time wakati unashinda kwenye mitandao.
Asamehewe tu kilichomsumbua ni ushamba wa helaFeels guilty
Wanadai yupo AzamNo Aishi Manula
Lile dukaWanadai yupo Azam
Mbona unakula hera ndg ndg mkuuYaani hapa nipo kusubiri tu mikeka yangu, mechi nitapata updates humu humu
View attachment 3060658
Acha karudi apo kakimbie kimbie kama digidigi simba tuna kaangalia tu.Nimelia🥹🥲😟😣😪
Imekaa poa sanaNo Aishi Manula
No Onana
Ipo hapaMoyo wangu umeenda mbio🥹
Mwenye namba ya Guede anipe jamani