FT: SIMBA DAY 2024: Simba SC 2-0 APR | Mkapa Stadium | 03/08/2024

FT: SIMBA DAY 2024: Simba SC 2-0 APR | Mkapa Stadium | 03/08/2024

Kwa hiyo Manula Kaachwa rasmi.....?
1722700756253.png
 
Wachezaji husajiliwa na kuachwa kwa maandishi
Nimemsikia msemaji wenu alivyo sema,wale waliotajwa ndio wachezaji wa Simba.

Maana yake Manula kaachwa au ndio mnamkomoa?Maana Azam washapeleka barua ya kumtaka kwa mkopo.
 
Msigwa na yeye leo siku ya michezo analeta siasa
 
Back
Top Bottom