Habari ya Manzoki kuongeza mkataba Vipers mpaka 2025 umeipata wapi?Aisee mashabiki wa simba mna moyo, halafu mnawaamini viongozi wenu! Mbona Manzoki ameshaongeza mkataba na timu yake mpaka 2025!
Halafu mwakani mtafute mtu mwingine wa kutambulisha bhana! Huyu Ahmed Ali hakuna kitu. Bora hata mngenipa mimi hii tenda aisee!
Naam kamati ya ulinzi usio onekana imejipanga vema kabisa kuzuia vimbola kutoka pande zote
Waandishi wa div four 28 enzi zile za jakaya.Hiki kingereza cha Gift Macha kuhoji makocha kinachekesha
Umepewa posho?Tusisahau kuhesabiwa siku ya jumanne Agosti 23.
Sensa kwa maendeleo yetu na vizazi vyetu.
Simba oyeee!
Azam wangemwajiri hata mkenya wa kwenye mahojiano tu ya wachezaji na makocha wanaoongea English maana inatia aibu kampuni kubwa hiviWaandishi wa div four 28 enzi zile za jakaya.
Most of our graduates are half baked, they are incompetente to be there as wasomi.
This is Simba braza..View attachment 2318164
Mchezaji wa zamani wa Chelsea, Salomon Kalou na mchezaji wa zamani wa Arsenal na Barcelona, Alex Song wako hapa kwenye Simba Day.
Yes, kama wao Mandonga sisi kiboko yao...View attachment 2318167
Namleta kwenu kiboko ya Mandonga
Ni muda sasa hawa watangazaji warudi shule wajifunze kuhusu communication skills. Yaani hiyo broken wanayoizungumza inanifanya mimi mtazamaji kuona aibu.Hiki kingereza cha Gift Macha kuhoji makocha kinachekesha
Hata hapa bongo wapo Vijana wengi wanaoiweza hiyo kazi. Changamoto iliyopo bongo ni kujuana.Azam wangemwajiri hata mkenya wa kwenye mahojiano tu ya wachezaji na makocha wanaoongea English maana inatia aibu kampuni kubwa hivi
... Nguvu moja...View attachment 2318164
Mchezaji wa zamani wa Chelsea, Salomon Kalou na mchezaji wa zamani wa Arsenal na Barcelona, Alex Song wako hapa kwenye Simba Day.