Kuna watu wanatumia app na wapo nje ya nchi na hawajui English ,halafu wao wana watangazaji wanaoongea brokenNi muda sasa hawa watangazaji warudi shule wajifunze kuhusu communication skills. Yaani hiyo broken wanayoizungumza inanifanya mimi mtazamaji kuona aibu.
Hiki kikosi naona kocha kaangalia mechi ya tar 13 zaidiKikosi kinachoanzaView attachment 2318175
Ndo tatizo ,ajira zimekaa kujuana sanaHata hapa bongo wapo Vijana wengi wanaoiweza hiyo kazi. Changamoto iliyopo bongo ni kujuana.
EPL boys, dah! kitambo sana.View attachment 2318164
Mchezaji wa zamani wa Chelsea, Salomon Kalou na mchezaji wa zamani wa Arsenal na Barcelona, Alex Song wako hapa kwenye Simba Day.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hiki kingereza cha Gift Macha kuhoji makocha kinachekesha
Inafaa kuweka ukutani jezi imependezaView attachment 2318178
Official Squad
Sio mambo ya Suti.View attachment 2318178
Official Squad
Ana majeruhi yanayoweza kumuacha nje ya kikosi kwa msimu mzima, sidhani kama ameachwa kwasababu isingekuwa kienyeji namna ile.DILUNGA wapi jamani dah
Alipelekwa South Africa kwa matibabu ,amerudi yupo chini ya uangalizi wa madaktariAna majeruhi yanayoweza kumuacha nje ya kikosi kwa msimu mzima, sidhani kama ameachwa kwasababu isingekuwa kienyeji namna ile.
Na hapo bado hajazoeana vizuri na kikosi, nafasi ya Onyango kikosi cha kwanza ipo matatani.Huyu Watarra inaonekana beki haswa