Lazima Yaani WanaumiaWatani wamenuna
Ndio maana tunashobokea wageni. Fala sanaHuyu Kyombo [emoji3525][emoji3525]
Mpaka Wanaona Wenyewe Jambo Letu LipoTuondoe tofauti zetu tuwajibu kwa vitendo Kinye..si FC...tukaujaze uwanja
Nafasi ya Kyombo?Kocha ingiza mzungu
Hata pengo libaki waziKANOUTE AUZWEEEEEEEEE
Punguza Makasiriko WeweTamasha limepoa sana watu wana kisasi cha jezi aiseeee nilipanga kuja siji tena uwanjani!!
Bado ana wenge la kuchezea timu kubwa mbele ya mashabiki karibia 80,000Huyu Kyombo [emoji3525][emoji3525]
MsindikizeAliyemnyoa chama nywele moja kwa moja peponi