Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arudi kati aje auchukueHapa kwa mzungu tumeuziwa rangi
unatakuwa shabiki mandaziHapa kwa mzungu tumeuziwa rangi
Kwani yeye mido,hao mido waliojaa kazi yao niniArudi kati aje auchukue
Hatuitaki hiyo slogan imekaa kisichana sana kama wenye nayoByu byuutii iko Simba
Ila huyu Wattara ni beki ,jamaa ametulia vizuri
OuttaraIla huyu Wattara ni beki ,jamaa ametulia vizuri
Yeah kusubiri mbele mipira haimfikiiArudi kati aje auchukue
Anafit akikaa na Inonga?Ila huyu Wattara ni beki ,jamaa ametulia vizuri
Wala presha , yuko vizuriSure, beki mmepata. Ana utulivu wa hali juu, Hana papara.
We jamaa hilo jina unalotumia mbona limenichekesha sana?Manzoki aje mapema mnoooo, huyu dejan sijaona hata akigusa mpira
Huyu Ouattara alikuwa chaguo la kocha, amepatia; na mzungu nae ni chaguo la kocha, apewe muda majibu yatapatikana..Sure, beki mmepata. Ana utulivu wa hali juu, Hana papara.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Msindikize