Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Kuna pasi anazitoa ,ametulia na hana paparaNa hapo bado hajazoeana vizuri na kikosi, nafasi ya Onyango kikosi cha kwanza ipo matatani.
Apewe nafasi zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna pasi anazitoa ,ametulia na hana paparaNa hapo bado hajazoeana vizuri na kikosi, nafasi ya Onyango kikosi cha kwanza ipo matatani.
Apewe nafasi zaidi.
Mimi nasubiri kumuona Akpan pale kati.Hatimaye Biriani limerudiii
Kwasababu hakijafunga dk 1 ya mchezo?Hamna timu hapo.
Ndiyo, ni miongoni mwaMimi nasubiri kumuona Akpan pale kati.
Hiki kikosi naona kocha kaangalia mechi ya tar 13 zaidi
Tayari 1Vp hukoo????