Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Watakua Yanga hao
Hahahaha asante kwa update ila ni UMAKINI. BarikiwaDakika ya 56 simba wanashambulia sana wanakosa umaskini kwenye umaliziaji
Mnacheza kama vile mko serious kumbe hewa tuKama jana mliteseka na kale katimu hakako kwny ramani unashangaa sisi kupimana ubavu na mabingwa wa nchi yao?
Toa imoji ya kucheka weka ya kutoa kamasi maana unaumia mpk mafua... 🤣Simba wanakimbiza utafikiri wako serious 🤣🤣
Kipo Kitu We Utopolo una gain hapa... alika wenzako ..usifaidi peke yako!onana misifa tu mbwa huyu naemfuga
Wale hewa walicheza jana..ulikua utopolo mtupuuMnacheza kama vile mko serious kumbe hewa tu
OnananaToa imoji ya kucheka weka ya kutoa kamasi maana unaumia mpk mafua... 🤣
Ana wenge sanaNusu uwanja...Baleke tena anampa kipa
Tufanye Maombi kwa Baleke