Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikosi B ndiyo nini??Ingizeni na nyie kikosi B, mraruliwe.
Hilo Tarumbeta uliloshika lililoandikwa APR la nini sasa...😉😉Kila la kheri Simba SC
Lipi kaka😂😂😂😂😂😁😁😁😁Hilo Tarumbeta uliloshika lililoandikwa APR la nini sasa...😉😉
Mtani kama mtanii...Amina
Akijibu nitonye 😁Kikosi B ndiyo nini??
Hakuna timu iliyoingiza kikosi B. Hakuna timu duniani yenye wachezaji 11 tu kwenye kikosi A chake!Ingizeni na nyie kikosi B, mraruliwe.
Yule mwenye baba yake mwenye akili, kwa kujua wenzake hawana akili kama yeye, basi huwatwisha mambo ya hovyo hovyo halafu wakiyashabikia yeye hukaa pembeni anacheeeeeka... 😛 😛 😛Hakuna timu iliyoingiza kikosi B. Hakuna timu duniani yenye wachezaji 11 tu kwenye kikosi A chake!
Ingizeni vijana basi.Hakuna timu iliyoingiza kikosi B. Hakuna timu duniani yenye wachezaji 11 tu kwenye kikosi A chake!
Mshaingiza upepo tayari.Kikosi B ndiyo nini??
Kwahiyo mnaanza na wazee mwanzo mwisho?Yule mwenye baba yake mwenye akili, kwa kujua wenzake hawana akili kama yeye, basi huwatwisha mambo ya hovyo hovyo halafu wakiyashabikia yeye hukaa pembeni anacheeeeeka... 😛 😛 😛
Mbona wote ni vijanaIngizeni vijana basi.
Lunyasi hakuna kikosi kipana?Kikosi B ndiyo nini??
Bocco, Saidoo, Baleke vijana wazee 🤣Mbona wote ni vijana
Kikosi kipana ndiyo huwa kinakuwaje!!??Lunyasi hakuna kikosi kipana?
Mwaka huu mnabeba treble.Kombe letu....
Kolowizadi!!Kikosi kipana ndiyo huwa kinakuwaje!!??