FT: Simba SC 1-0 Ihefu FC | Ligi Kuu Bara | Stade de Benjamin Mkapa 12/11/2022

Hawa Ihefu tunawaheshimu ila leo wamedandia mtumbwi wa vibwengo...

Hatuna huruma nao....
 
02' Ni Free Kick kuelekea Ihefu FC, inapigwa kulee lakini Kanoute kichwa chake anatoa nje na kuwa goal kick
 
02' Ni Free Kick kuelekea Ihefu FC, inapigwa kulee lakini Kanoute kichwa chake anatoa nje na kuwa goal kick
Kanoute ni uchafu mido wa kizama he preferred to be a fullback
 
07' Tshihimbi yupo chini akipatiwa matibabu baada ya kupata rabsha ameinuka mpira unaendelea
 
08' Ihefu FC wamepata Kona ambayo haikuzaa bao.. Manula anadaka
 
12' Mchezo unaendelea huku kila timu ikitafuta mbinu ya kupenya ngome ya mpinzani wake

Simba SC 0-0 Ihefu FC
 
15' Ni Free Kick kuelekea Ihefu FC

Ni maeneo ya karibu na box, anapiga Okrah lakini mpira unababatiza mabeki.
 
16' Okrah anapiga shutii lakini golikipa Ssetuba anadaka bila wasiwasi...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…