Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Pole sana Makolokolo, usijilaumu kwanini ulijichagulia timu mbovu inayokuua mapema kwa BP, Kisukari, Vidonda vya tumbo, Stroke au hata ajali ya gari kwa kuwa na distress [emoji16]Umesaini wewe ??[emoji16][emoji16]
Kama hakuna uhusiano basi mpira ungetengezwa wa pembe nne, dunia hii Physics haikwepeki.Wale wale wabongo kupenda kujikweza
Hakuna uhusiano wa physics na mpira
Eti Vijana Wamekaza hawataki kupigwa Cha pili...Wamepaki basi
Huyu Sarr tumepigwa aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Muha-Sibu, ila we Jamaa ni Utopolo piwa maana ukiwaombea Yanga mabaya tu basi lazima wafanye vizuri [emoji847]Kmmk, Ayub kama nyani
Inatakiwa litolewe mwakarobo kama sisiHawajakaza
Tim bovu la SSC
HAKUNA MTU WA KUSABABISHA DESPITE OFCHANCES
HATA KOCHA YUPO DISAPPOINTED NA HILI TIMU
AwapiNaziona dalili za penalty hapa.
Wa mchongo kweli kweliHa ha wa mchongo
La kwako lishabeba ubuyu wa KipondaTim la hovyo SSC haha