FT: Simba SC 1-0 Jamhuri SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex| Robo Fainali | 08.01.2024

Asante sana Modes.
Leo mmekuja mapema sanaaa.
 
Utabiri,

Simba3,
Jamhuri 1
 
Simba wako serious kuliko userious wenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Watachezea za kutosha kabisa
 
Che Malone huwa ana ugonjwa wa kulazimisha kupiga pasi za mbele katikati ya msitu wa wachezaji pinzani, hili nimeliona mara nyingi sana na mara zote huambulia kupoteza mpira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…