Oyaaa ondoa huu upupu ndani hapa..... Yaan SAKHO na BANDA wakacheze ULAYA?? Hao wachezaji Hata AZAM hawapati namba. Ushabiki kama huu ndio unafanya tujione level sawa na AL AHLY wakati hata nusu fainali CCL hatujawahi fika.Waandishi na wachambuzi wa michezo katika nchi zao waliwashangaa Sakho na Banda kuja kucheza ligi ya Tanzania badala ya kwenda Ulaya. Sisi tunawashangaa waliwezaje kutushawishi Simba tukawasajili
Huu ndio ushabiki maandazi sasa, yaan kwako wewe siku ile aliyezidiwa ni YANGA?Leo wameanza wachezaji nane ambao hawakuanza jumamosi. Ubora wenu uko wapi wakati mlikuwa mnapoteza muda ili mechi iishe na kama sio hisani ya marefa wa gsm msingekuwa mnaonekana jukwaani
Next time nisikuone tena unabishana na wajingawajinga wewe ni mwananchiiiiiHuu ndio ushabiki maandazi sasa, yaan kwako wewe siku ile aliyezidiwa ni YANGA?
Kwahiyo kwa takwimu hizo nani aliyezidiwa?Next time nisikuone tena unabishana na wajingawajinga wewe ni mwananchiiiiiView attachment 2044496View attachment 2044497
Ni nyie ndo hamjawahi kufika nusu fainali ya CCL sisi tumefika mpaka fainali ya CC .. kwanza mara yenu ya mwisho kufika hatua ya makundi tu, nahisi ulikua bado hujazaliwa [emoji23]Oyaaa ondoa huu upupu ndani hapa..... Yaan SAKHO na BANDA wakacheze ULAYA?? Hao wachezaji Hata AZAM hawapati namba. Ushabiki kama huu ndio unafanya tujione level sawa na AL AHLY wakati hata nusu fainali CCL hatujawahi fika.
Mkuu ebu tuweke ushabiki pembeni, kwa kikundi chenu cha wacheza bolingo cha wakina masele, moloko, tuseme al ahly wametua hapa, mna uwezo hata wa kutoa draw ??.Ukiacha ushabiki YANGA wana wachezaji wazuri kuzidi SIMBA. Hata hivyo SIMBA hana first 11. Kama unaijua ipange hapa watu waione, otherwise SIMBA bado hawajui nani acheze na nani akae nje na hii ni kutokana na wachezajo wengi kutokuwa Bora.
Al Ahly wamewahi kucheza na YANGA wakatoka 1-1 home and Away Yanga wakatolewa kwa mikwaju ya penati, Bahanuzi akikosa Penati muhimu sana. Ulikuwa na UMRI GANI.?Mkuu ebu tuweke ushabiki pembeni, kwa kikundi chenu cha wacheza bolingo cha wakina masele, moloko, tuseme al ahly wametua hapa, mna uwezo hata wa kutoa draw ??.
Labda al ahly ya magomeni.Al Ahly wamewahi kucheza na YANGA wakatoka 1-1 home and Away Yanga wakatolewa kwa mikwaju ya penati, Bahanuzi akikosa Penati muhimu sana. Ulikuwa na UMRI GANI.?
Kwa Yanga hii anaweza kuchaza na kushinda kwa Al Ahly ukilinganisha na SIMBA.
Mpira umeanza kushabikia lini mkuu?Labda al ahly ya magomeni.
Kwani Banda alikuwa wapi kabla ya kuja Simba?Oyaaa ondoa huu upupu ndani hapa..... Yaan SAKHO na BANDA wakacheze ULAYA?? Hao wachezaji Hata AZAM hawapati namba. Ushabiki kama huu ndio unafanya tujione level sawa na AL AHLY wakati hata nusu fainali CCL hatujawahi fika.
Unataka kusema kuwa Al ahly iliyomtoa yanga kwa penati ilikuwa ni timu ya kawaida? Unajua Al Ahly ni bingwa wa CAF champions league na hakuanza kuchukua mataji jana wala juzi. Halafu wewe unawaita Al Ahly ya magomeniHuwezi kufananisha Al ahly iliyocheza na yanga na current one iliyocheza na Bayern Munich na kupigwa 2 -0.
Hawa ni al ahly ya magomeni?Labda al ahly ya magomeni.
Usibishane na wajinga. Wewe unajielewa sana.Hawa ni al ahly ya magomeni?
Maajabu sana. Jamaa kafurahi mpaka kapitiliza. Sijui kama angekuwa refa ingekuwajeHuu mpira mpaka mda huu uko LIVE??😲