Unaiangaliaje hiyo game kwa jicho la tatu? Kwa njia ya aina yoyote ile tunatakiwa tushinde leoπhoroya bado yupo nyuma na mchezaji wao mmoja kala umeme tayari... simba tushindwe wenyewe tu kwenda robo
TunashindaNawewe unasua sua tu hapa Taifa
Horoya sasa wajiandae kufa za kutosha, naomba Mungu zisiwe chini ya 3-0.Horoya wameumia tayari wana kadi nyekundu.
Mapishi ya CHAMA yamepungua sana..Kabisa..
Cjaona tactics zao...
Na kama utaona , ingizo la SAIDO Mapishi ya CHAMA.
Huoni Saidoo akipika pasi kwa Phiri nk
Saido na Chama hawatofautiani sana uchezaji wao,wote kuwa katikati ni shida kwa jicho langu, ilitakiwa mmoja atokee pembeni na Sakho angeanzia benchKabisa..
Cjaona tactics zao...
Na kama utaona , ingizo la SAIDO Mapishi ya CHAMA.
Huoni Saidoo akipika pasi kwa Phiri nk
Ila wanaongoza kwa ball possessionHoroya sasa wajiandae kufa za kutosha, naomba Mungu zisiwe chini ya 3-0.
Mfumo wa ticha unamkabaSakho hakuna anachocheza... Baleke angeanza
Hiyo mipango tu ya mwarabu, hata sisi tuliongoza kwa possession lakini tukalishwa 3[emoji1787][emoji1787]Ila wanaongoza kwa ball possession
Kwanini?Pasi hasifiki
YahHivi huyu Refa ametoapo kadi tangu mechi imeanza