Mungu aepushie mbaliWasije chomoa hawa viumbe
20BLeo mnavuna milioni ngapi za mama?
Zishafika kumi sasaLeo mnavuna milioni ngapi za mama?
Hahaha hajapta leoKanoute anataka amalize mpira bila kadi leo
Bora hata ww unaongea mpiraSimba wanahitaji reformation kubwa sana kwenye kikosi chake, huoni time ikifanya build up. Ni papatu papatu
Ndio sababu ya kukuuliza muda ule kama kuna kadi zimetolewaKanoute anataka amalize mpira bila kadi leo
Wanalinda ushindi kwa kumiliki mpiraSimba wamekata pumzi