SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Ukipata muda, katazame wale wanaoongoza makundi yao alafu uje hapa useme ni nani kati yao, hata mmoja tu, utamfunga goli nyingi.Msije shangaa hii Simba inafika nusu fainali, tunaingia robo kwa kuunga unga, tunapangwa na mtu anakuja kwa Mkapa anakula nyingi, kwake anashindwa kuchomoa mnyama yule ...
.Hawa Raja hawa wangekutana na Uto wangewaua walai
HahahahahaahahhahaBora umeishaaaaa
Ndo nimeeleza itavyokua, soma vzrUnafika vipi nusu fainali bila kupita robo fainali?
Kuangalia papatu papatu ya namna hii inaumiza macho.Uto washakimbia uzi wetu
Full Time
Simba 1 -0 Vipers
Horoya 1-3 Raja
Wangekumbushiwa moto
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tupunguzieni kelele..
Pamaaaf..!!FT' Simba 1-0 Friends Of Yanga
Tukutane kesho kwenye siku ya wanawake pale kwa Mkapa.
Adios Amigo
Hongera mtani. Naona umeshusha pumzi kama vile umetoka kuzaa mapacha!Simba bwana ni mnyamaaa mkaliiiii
Hapakua na papatu ni wivu tuu ktk siku Simba imecheza vzr ni leoKuangalia papatu papatu ya namna hii inaumiza macho.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app