Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Na waongezwe na kuongezwa tena na tena rafiki yetu duaaaaaðŸ¤!Rafiki bado kiduchu wafungwe lingine. 😂😂
Santo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na waongezwe na kuongezwa tena na tena rafiki yetu duaaaaaðŸ¤!Rafiki bado kiduchu wafungwe lingine. 😂😂
Yani umsajili tu kwasababu kakufunga???Simba tumsajiri tu huyo Prince Dube.
Kachukua point zetu zote sita msimu huu.
Kila la heri azamKufungwa hii game itakuwa dharau, bora tungecheza Chamazi tu.
Simba hebu komaeni...
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Boya weGoli alilofunga Dube ilikua ni clear offside ....aliyetoa assist kwa Dube alikua kwenye eneo la kuotea wakati anapokea pasi kabla ya kutoa assist
Zile 5 kono la nyani alikufunga nani?Bora kufungwa na Azam kuliko wachawi vitaulo FC walai....
Wanacheza pila bilianiSimba hamna wanachocheza
Simba hapigwi chini ya goli 3.Mikia hawaamini walichokutana nacho mpaka sasa.
Kabeeesa. Waongezwage tu.Na waongezwe na kuongezwa tena na tena rafiki yetu duaaaaaðŸ¤!
Santo sana
Sawa fungeni na nyie la offsideAngalia replay ya goli...wakati mpira unapigwa kutoka kwa beki kwenda kwa winga aliyetoa assist ya goli.....winga alikua clear offside
Aamin aamin!Mungu ibariki Azam.