FT: Simba SC 1-1 Azam FC | NBC Premier League | CCM Kirumba Stadium| 09.02.2024

FT: Simba SC 1-1 Azam FC | NBC Premier League | CCM Kirumba Stadium| 09.02.2024

Mzee bakhresa ni mwana makolo na mtoto wake ni makolo au mwananchi ?
 
Bora kufungwa na Azam kuliko wachawi vitaulo FC walai....
 
Kwenye mbio za ubingwa Simba anamloga YANGA na YANGA anamloga Simba wakidhani kuwa wao ndio wapinzani wa ubingwa mwaka huu, kumbe wanatengeneza njia nyeuuupe kwa AZAM ambaye ndiye bingwa wa mwaka huu
 
GENTA anapiga mkwaju moja wa moto hatari pale goooool
 
Back
Top Bottom