Huja
JF-Expert Member
- Aug 7, 2021
- 1,167
- 1,848
Clear..clear... offsideBoya we
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Clear..clear... offsideBoya we
Mpaka wachezaji wao wanaamini katika uchawi,jana niliona mchezaji mmoja anatoka kwenye benchi anakimbia kwenda kukitoa kitaulo cha mlinda mlango wa Mashujaa.Bora kufungwa na Azam kuliko wachawi vitaulo FC walai....
Washukuru Azam kawazalau sana,Hana userious wangerogana kesho maana haonekani chama Wala Chee.....Wangekua wamekula Bajaji saivi.Zile kelele zao zote wameishia nazo njiani. 😅
Mbona ume address goli kinyonge hivi. Andika Goooooooal ili kila anayesoma update ajue. Weka bold hapo14' Goli. Azam wanapata goli la kuongoza hapa kupitia kwa Dube.
Hiki kiswahili umetumia hapa Mkuu ni hatari. 😂Simba hapigwi chini ya goli 3.
Anakamia tu,ndo maana shirikisho hakufanya lolote. Azam ni timu ndogo kwa Simba na kawaida timu ndogo inakamia timu kubwa.Simba tumsajiri tu huyo Prince Dube.
Kachukua point zetu zote sita msimu huu.
Tusimlaumu beki wetu, ndivyo alivyofundishwa.Che Malone anahama sana kwenye namba yake!!
Tulia dawa iingie wewe.Wamweleze Beki Che Malone huku kukoswa koswa kunasababishwa na Yeye kutokuwepo kwenye eneo lake kwa wakati
Avagadro laws, principles and constants leo hazi-apply. Pole kwa kipigo, sisi YANGA tunaona ligi bado sanaKwenye mbio za ubingwa Simba anamloga YANGA na YANGA anamloga Simba wakidhani kuwa wao ndio wapinzani wa ubingwa mwaka huu, kumbe wanatengeneza njia nyeuuupe kwa AZAM ambaye ndiye bingwa wa mwaka huu
Kweli kabisa Mkuu.Washukuru Azam kawazalau sana,Hana userious wangerogana kesho maana haonekani chama Wala Chee.....Wangekua wamekula Bajaji saivi.
Kaoge mkuu usingizi ukutoke.Angalia replay ya goli...wakati mpira unapigwa kutoka kwa beki kwenda kwa winga aliyetoa assist ya goli.....winga alikua clear offside
Weeeee. Apia. 😂Anakamia tu,ndo maana shirikisho hakufanya lolote. Azam ni timu ndogo kwa Simba na kawaida timu ndogo inakamia timu kubwa.