Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Umelewa Nini bwashee πNi kawaida kwa timu ndogo kufunga timu kubwa, ila haiwi timu kubwa baada ya kuifunga timu kubwa.
Wale mashabiki wa timu ndogo endeleeni kupiga kelele zenu π
Pereperee nyingiiii. Chura ni chura tu. Mikelele.Ametoka kijana Israel Mwend ameingia mzee Shomar Kapombe.
Benchika atuachie timu yetu.
Ww acha kutuumiza macho na bold zako...Huyu kibu denis hapaswi kuchezea Simba, anapaswa kucheza mpira wa mchangani huko.
Yani kama kalipwaPereperee nyingiiii. Chura ni chura tu. Mikelele.
Wenye timu yao huwaambii kituHuyu kibu denis hapaswi kuchezea Simba, anapaswa kucheza mpira wa mchangani huko.
Siku hz wamekuwa walozi wa level za juuMpaka wachezaji wao wanaamini katika uchawi,jana niliona mchezaji mmoja anatoka kwenye benchi anakimbia kwenda kukitoa kitaulo cha mlinda mlango wa Mashujaa.
Chura lilipwe kukoroma likiwa dimbwini?Yani kama kalipwa
Nijibu na mm zile 6 za mlemavu alikufunga nani...swainiiiii...
Hana akil, hana control, anachojua ni kupiga tuHuyu kibu denis hapaswi kuchezea Simba, anapaswa kucheza mpira wa mchangani huko.
Naona nyani ameachiwa toka mbuga za gombe...anabweka bweka...Licha ya kuroga wiki nzima ila uchawi haijafua dafu. Azam tunyoosheeni hawa umbwa.