Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Haya matokeo yamekuumiza sana mtaniEti wanalalamikia dakika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya matokeo yamekuumiza sana mtaniEti wanalalamikia dakika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😁😁😁😁Sasa yanga wanachoumia ni nini wakati wao ndio wanaongoza ligi na kombe wanachukua
Yani wewe hizo emoji za kucheka unaficha machungu makubwa ya haya matokeo.Pole mtani[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sare za msimbaz
Gap la point 4 sasa draw yao faida kwetuTunawashukuru Kwa kutusaidia kuweka gap la point 2.
Ronaldo wa kisemvule.Ali wahi kumkaba Ronaldo [emoji81][emoji81]dadekii
Dah.. inasikitishaKayoko kayoko Azam tv mmegoma kabisa kurudia faulo aliyochezewa fowadi wa simba ndani ya 18
Yananiumizaje kwa mfano maan hayaniathir chochotHaya matokeo yamekuumiza sana mtani
Tulia basiKayoko kayoko Azam tv mmegoma kabisa kurudia faulo aliyochezewa fowadi wa simba ndani ya 18
Huyu ndio anauwa timu hana analolifanyaSaido atoke, ana kichwa kizito sana kiasi kwamba kinaelemea miguu.
Asante mtani, mnaongoza Ligi ila bado mnaumia sisi kutoa draw, mbona mna wasiwasi hivyo [emoji3][emoji3][emoji23] hadi nimecheka. Lol.
Pole lakini.
Asante mtani, mnaongoza Ligi ila bado mnaumia sisi kutoa draw, mbona mna wasiwasi hivyo [emoji3][emoji3]
Acha ukudaButua butua FC tumeambulia point. Sasa wanalalamika nini kwa refa?
mnyamaaa,Leo kabanwa mbayaaaAsante mtani, mnaongoza Ligi ila bado mnaumia sisi kutoa draw, mbona mna wasiwasi hivyo [emoji3][emoji3]
Hiii kitu nimewasiki sna kina ambagile wakizungumzaaKama hapa Simba ime ime improve basi ilikua ICU
Tunamshukur Mumeo kayoko yangaKwa matokeo haya,Mikia ishukuru tu...
Wavimbiwa mihogo wanachukia sareWahuni wanashangilia sare.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahaaa. Lol.
Pole jirani.