Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kwamba sioni auMoja tayari huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba sioni auMoja tayari huko.
Ha ha haDaah huyu Onana ndio dolar 200k,kalegea sijui anapiga nyeto.
Koloz washavurugwaaa rafikiii mwaka wanaumaliza vibaya 🤣 😁😁!Nakazia rafiki. 😂😂😂
Bado nyingine 2 ongezea kama unataka andika kabisqImooooo
Baleke mzito sana
Huu ukuta wa Yeriko Jamani!!Ukuta wa biscuit [emoji2772][emoji2772][emoji2772]
Inanyesha!Kila mechi hii timu lazima iruhusu goli. [emoji38][emoji38] yani imekuwa kanuni.
😀 😀Kwamba sioni au
Mkuu usiwadharau hivo,hawa wachezaji wetu pia kisaikolojia ile 5 inaweza ikawa imewaharibuNamungo watoto wadogo sana, wametangulia tu.
Huu game mtashinda lakini timu kubwa kuruhusu goli kila mechi ni tatizo kubwa sanaNamungo watoto wadogo sana, wametangulia tu.
VinyeeesiiiiZuweena 😂
🤣🤣🤣🤠!Kwamba sioni au
Hahahahahah nakuonea huruma kushabikia timu inayokupa stress kila uchwaoBado nyingine 2 ongezea kama unataka andika kabisq
Imoooo
Imooo
Imoooo
😔😔Sio Simba Tena tumekua Paka pori
Mambo mengine yanakera