Amina amina π€ !Wapigwe tu kenge hao
Watembea kwa miguuWala mihogo fc
Wanywa supu za vibudu fc
Inatakiwa wapigwe vitano maana washazoeaAmina amina [emoji1783]!
Hebu Wapigwe la pili akili iwakae sawa kwanzaa[emoji16]!
Umesahau wazee wa ugali kwa sukariWala mihogo fc
Wanywa supu za vibudu fc
Mtani nimecheka sana yaani. ππMuone na huyu
Kiungo punda atoke tena?Mzamiru atoke
πππHahahaaa. Na saa hii wana hasira hao mdogo wangu.
Kuwa nao makini. ππ
π π π π πΈ πΈ πΈWatembea kwa miguu
Vispika fc
Vibegi fc
Sidhani. Nadhani tatizo lipo kwenye kikosi kutokuwa na alternative. Kati pale kama ushajua namna ya kuwadhibiti saidoo, Chama na beki anayepanda kupitia wing shomari basi nafasi ya ushindi ipo.Mkuu usiwadharau hivo,hawa wachezaji wetu pia kisaikolojia ile 5 inaweza ikawa imewaharibu
Juzi ilikua uchawi leo una maelezo gani ndugu mjumbe[emoji441][emoji441][emoji2772][emoji2772]Wala mihogo fc
Wanywa supu za vibudu fc
Si mlisema ni kiungo punda, imekuwaje tenaaMzamiru atoke