joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kibu inabidi mumuongezee mshahara yaani hata kuforce mnashindwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangulia kwa miguu wacha mpira uendelee..Refa maliza mpira wengine tunakaa Mapinga
Simba tumejitahid sana Leo tunapata point 1.Simba ongeza goli moja hapooo
Wanakuja kushangilia point moja. 😅Soon wenye uzi wao wataibuka na majigambo
Nakaziaaaaaaaa 😁Refa maliza mpira wengine tunakaa Mapinga
Nakaziaaaaaaaa 😁Refa maliza mpira wengine tunakaa Mapinga
Nataka pointi 3Simba tumejitahid sana Leo tunapata point 1.
Huwa hawafikiri kabla ya kusemaNa leo watasema Namungo kahonga pesa, wakati huohuoa analaumiwa Matola kakosea kupanga kikosi
Vp mkuu?Duh kazi ipo
Asije refa akatoa penati kwa makoloRefa maliza mpira wengine tunakaa Mapinga