Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaaka MseeemeeeeeeeSekunde 30 zilikuwa hazijaisha.
Duh wamehongwa au?Chama na Saidoo ndiyo virusi kwenye timu yetu.
Aya chukueni nyie ubingwaUtopolo mnafurahiii sijui nani kawadanganya mmeshakuwa mabingwa, mna wenge sana
ImagineNa hao wawili ndio waliowatia 5
Inashangaza sanaKila mwaka wanaunda timu mpya
Tutawaokoa wasishuke darajaSimba msimu huu lazima watacheza relegation play off
NdioDakika 94 zote hizo mmeshindwa kufunga mkipewa 2 ndio mtashinda?
Subirini uchambuzi wa popoma. Labda wachezaji wamehongwa. Au wamezidiwa uchawi. Objective football full papatupapatu utafikiri Rugby ng'wanawane!Namungo wametoa rushwa kwa wachezaji
Bingwa wa kuimba midundo ya taarabu 😂Yanga bingwa
kwanza mpira ni haramu
Bila Tatu Malogo pale kati dunia itaingia kwenye simanziTwende TAKUKURU
Kwa hiyo zingeisha ndio mngepata goli?Sekunde 30 zilikuwa hazijaisha.
Ubingwa umesema wewe, sisi tumefurahi namungo kubana kende zenu.Utopolo mnafurahiii sijui nani kawadanganya mmeshakuwa mabingwa, mna wenge sana
Mna wenge la kitoto sana... lihi ndio round ya kwanza mkumbuke sio mnaruka hovyo kama masaiAya chukueni nyie ubingwa