Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utamuweza yule kichaa mwenye cheti kutoka Lutindi GENTAMYCINEsasa mbona wamecheza wachezaji wanaodaiwa kuchomesha?
Yani badala uiwazie timu yako, unaanza kuniombea njaa Mimi?Hii CL ndio naisubiri kwa hamu sana, mkalegezwe na wale waarabu wawili mliopangiwa hili wenge mlilonalo sasa likate, af mrudi kwenye ligi na kizunguzungu round ya pili
Yaani mijaa haiwezi kutaniana bila matusi na kashfaMakolo mnachoweza ni matusi tu
Ni kweliBado haijaisha mpka ligi iishe....
Point moja ya wapi? piga hesabu vizuriNiko gado balaa.. hapa ndio nimeanza kujitafuta kwa hiyo pointi moja..
Baada ya hapo gari ikipata moto mtajuta na wenge lenu
Hao jamaa wana shida kichwani,wanadhani matusi ndio yatasaidia timu yao mbovu kufanya vizuri.Oyah acha matusi bhasi jaribu kua kama mtu mzima
Haiwezekani wale wenyewe waarabu wanaogopa kucheza na yangaHii CL ndio naisubiri kwa hamu sana, mkalegezwe na wale waarabu wawili mliopangiwa hili wenge mlilonalo sasa likate, af mrudi kwenye ligi na kizunguzungu round ya pili
Yanga nilimgonga 6-0 mpaka leo hajawahi kuzirudisha..Yaani Yanga leo hii mchanga kwa Simba,umezaliwa lini,Yanga anaongoza kwa ubingwa,kukufunga mechi nyingi na magoli mengi kuliko timu yoyote Dunia leo hii unasema mchana? Kweli kipigo cha goli tano kimewalevya.
Msomali amejitahidi sana kuwabeba tatizo hambebekiBado haijaisha mpka ligi iishe....
Hawa inafaa moderator wawapige banned ili wapate adabuHao jamaa wana shida kichwani,wanadhani matusi ndio yatasaidia timu yao mbovu kufanya vizuri.
Duh umesahau ya msimu ulioisha? Fainali tulifika na ligi kuu tukachukua.Hii CL ndio naisubiri kwa hamu sana, mkalegezwe na wale waarabu wawili mliopangiwa hili wenge mlilonalo sasa likate, af mrudi kwenye ligi na kizunguzungu round ya pili
Polee sana mtani wanguNdo hivyo mtuache jaribu tena baadae....
Pilipili usoila yakuwashia nini??
Hamna kunena kwa lugha wala nini mnyama anarudi mdogo mdogo mawindoniMtanena kwa lugha mwaka huu. Endelea kuwa mpole, muda utakuonesha kama mna uhaba wa msosi au wa pension.
Umesahau na zile 4 kama.mara mbili hivi...Yanga nilimgonga 6-0 mpaka leo hajawahi kuzirudisha..
Juzi tu hapo nikamgonga 5-0 mpaka leo hajawahi kugusa hiyo rekodi..
Utopolo wachanga tu kwa mnyama taka usitake, mnasumbuliwa na wenge tu kwa sasa
Kasahau kabisa yaaniDuh umesahau ya msimu ulioisha? Fainali tulifika na ligi kuu tukachukua.
Kaka unajipa imani wakati mnatimu mbovu sanaHamna kunena kwa lugha wala nini mnyama anarudi mdogo mdogo mawindoni