Hahhahhahahahahaha [emoji23]Simba asipokua makini anaweza kula kono la nyani hapa
Ndio hao walimpiga mtu 6Huyu kocha mmmmmh na hawa wachezaji
πusiwahofie Makolo Mkuu.Wamepigwa mbili ππ
Dj weka Ngoma ya Simba Matikiti kudondokea... Halafu usifanye chiki chiki [emoji16]Sifa Ya Sherehe Sebene Liwe Juu
Yaani Mbili Kwa NUNGE [emoji81]Mpaka sasa ni mbili bila, mbili kibuyu, mbili karai yaani mbili sifuri. [emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu huu uwanja sijui tunaupendea nini.Ubingwa wa kupewa milioni 30 sina mpango nao, hapa mipango yote ni CAF CL QF..
Ligi kuu sasa tunafanya mazoezi tu.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
ππ€£πππSi tumekubaliana chama fundiiii sanaHakuna kukamiwa,Simba mbovu
Mnyamaaa,Hana mpinzaniYaani Mbili Kwa NUNGE [emoji81]
Heh..Manura ni takataka hafai kuanza golini
Mbona kinyonge Sana mtani [emoji1787]Hata siumii