Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
Hahhahhahahahahaha [emoji23]Simba asipokua makini anaweza kula kono la nyani hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahhahhahahahahaha [emoji23]Simba asipokua makini anaweza kula kono la nyani hapa
Ndio hao walimpiga mtu 6Huyu kocha mmmmmh na hawa wachezaji
😂usiwahofie Makolo Mkuu.Wamepigwa mbili 😂😁
Dj weka Ngoma ya Simba Matikiti kudondokea... Halafu usifanye chiki chiki [emoji16]Sifa Ya Sherehe Sebene Liwe Juu
Yaani Mbili Kwa NUNGE [emoji81]Mpaka sasa ni mbili bila, mbili kibuyu, mbili karai yaani mbili sifuri. [emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu huu uwanja sijui tunaupendea nini.Ubingwa wa kupewa milioni 30 sina mpango nao, hapa mipango yote ni CAF CL QF..
Ligi kuu sasa tunafanya mazoezi tu.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
😂🤣😁😂😂Si tumekubaliana chama fundiiii sanaHakuna kukamiwa,Simba mbovu
Mnyamaaa,Hana mpinzaniYaani Mbili Kwa NUNGE [emoji81]
Mbona kinyonge Sana mtani [emoji1787]Hata siumii