Ngoja tuone.Prison wajiandae kisaikolojia
Ila Benchika anaibeba sana hii Simba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuone.Prison wajiandae kisaikolojia
Kuna manzi hiyo inaitwa cocastic ngoja akusikie unaisema Simba.Zabona mayombyaaaaaaaaaaa.....
Anaindikia prison Bao la tatu Makolo watapoteana hapa walizani wanacheza na vibonde Jwaneng [emoji28]
Aksante mtani usie na nongwa...
UKITOKA HAPO UNIPITIE MASIKA HAPA KARIBU NA CRDB TUKAWASHANGILIE HAWA KOLOZDADMie nipo kihonda mida hii, mnyama ndiye kanifikisha mji kasoro bahari [emoji23]
Sijui kwanini kocha anapenda Kuanzisha viungo watatu wenye asili ya ukabajiKikosi cha Mauaji!
View attachment 2926140
Hata sikuelewi. Babacar na Fabrice huwa wana panda na kufunga magoli. Hata Mzamiru huwa anashiriki kwenye mashambulizi.Sijui kwanini kocha anapenda Kuanzisha viungo watatu wenye asili ya ukabaji
The real Boss.Ngoja tuone.
Ila Benchika anaibeba sana hii Simba.
Nitakupitiaje ilhali we ni team 🐸halafu mie ni Simba, utaweza kweli mwendo wangu?UKITOKA HAPO UNIPITIE MASIKA HAPA KARIBU NA CRDB TUKAWASHANGILIE HAWA KOLOZDAD
Prison ua mnyama huyo
Prison hana hiyo jeuriPrison ua mnyama huyo