Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akafa,ameachama,aahaaaaaMarehemu alikua na nyodo sana
😂😂😂Hahaha ni mdomo gani huo ambao uto Hawakuwa nao mtani [emoji2][emoji2]
Dooh kwani mtani hiyo timu isiyo dhaifu imefuzu makundi ya klabu bingwa mara ngapi kulinganisha na ile tuliyoifunga sitaChama chama chama [emoji23][emoji16][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji23] nyinyi Kubalini kuwa mnakuwa Bora mkicheza na timu dhaifu nyinyi ni wabovu sana [emoji16][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2926272
GENTAMYCINE aliwaonyaQuoma Zenu..
Mikia..
Uchawi huwa una COUNTER ATTACK
Mtumwa wewMnaoshabikia matimu ya bongo húwa mna moyo huwa mnapata faida gani? Kijana kabisa under 30 anashabikia sijui simba sijui yanga ndo maana mnazeeka mapema
Weee.Refa maliza mpiraaaaa....
Jwaneng ni wazuri kuliko Simba sema Simba wanamamboyao ya kipuuzi ndiyo yanayo wapa ushindi.Jwaneng haikuwa kipimo cha ubora wa Simba. Bado inajitafuta.
Fukia hapo hapo😂😂😂😂😂nimechekeshwa huko mtaani nimejikaza nikaja kuchekea humu msibani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani ee tunasafirisha au tunasubiria masimango ya MO
Huo ubao sijauelewa nilikua nimelala wamekosea kuandika au? Yaan Simba kafungwa 2 kwa 1?Mungu kawalaaani mliwapulizia sana dawa za mbu jwaneng galaxy Leo Kiko wapi