Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
ππHilo pira tupa kule Swahiba. ππ
Nipo hapa kukukumbusha kwamba ule mwiko wa bao 6 mtungi na bao 5 mtungi bado hujauchomoa kijana wangu ila hongera sanaKIBU DEE MTOMBANGILE where are you my son π€£π€£π€£π€£π€£π€£kimyaaa View attachment 2805470
Zilipendwa kijana ila maumivu makali sana ya jana umeyapata nataka unijibu je simba ni nzuri au mbovu???? Na hii ya jana bado lazima roho ikuume sanaNipo hapa kukukumbusha kwamba ule mwiko wa bao 6 mtungi na bao 5 mtungi bado hujauchomoa kijana wangu ila hongera sana
Hata mimi nilishawahi kukupakata goli 9Nipo hapa kukukumbusha kwamba ule mwiko wa bao 6 mtungi na bao 5 mtungi bado hujauchomoa kijana wangu ila hongera sana
Tayari ashafanyiwa subTumfanyie sub
Naunga mkono hoja ππUnaweka electrical fence kwenye umeme wa mgaoView attachment 2805620View attachment 2805621
Labda YERIKO NYEREREπUkuta wa yeriko kumbe ni wa mabua?
Mpoooπ€πππ!!!!?Kabisaa ni full ku enjoyy!!!
[emoji881]
Tupoooo na tumejaa teleeee!!!Mpooo[emoji851][emoji23][emoji23][emoji23]!!!!?
Helloowww [emoji2772]!
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Simba 2-0 Utopolo.
Yule yule Mkandaji, Kibu D
Popote mlipo Nipe tanoo pullliiizzzzzzzzzzzzzzz ππ€ !Tupoooo na tumejaa teleeee!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naunga mkono hoja ππ
Akikujibu nambieπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
YametimiaUtabiri wangu: Leo simba tutafungwa goli za kutosha. Na baada tu ya kufungwa, uongozi wa klabu utamtimua kocha Robertinho.