FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

Meneja wa baa ya West gate Sumbawanga mjini jana kagawa bia moja moja bure kwa kila mtu anayeingia ktk baa yake kusheherekea ushindi wa Yanga.
 
20231106_081124.jpg

Wanathimbaaaaaaaaa nguvu moyaaaaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
kinachoniuma ni kwamba 3plus ilikuwa na 2.03,imagine over 5.5 ingekuwa na ngapi[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kufungwa kwa kichapo kikubwa ni kawaida kutokea kwa timu kubwa pale 'game plan' zao zikifeli rejea.

Newcastle 4- 0 Psg

Bayern Munich 8 -. 0 Barcelona

Manunited 8 - 2. Arsenal

Mancity 6 - 2 Man United..

Liverpool 5 -0 Man United

Ujerumani 7 - 0 Brazil

Mancity 4 - 1 Arsenal

Hii ya Simba pia itapita tu japo itabaki kwenye historia.

Mbio za mnyama Simba kubeba ubingwa msimu wa 2023/2024 zipo palepale, Uto...msisahau hilo.
 
Kufungwa kwa kichapo kikubwa ni kawaida kutokea kwa timu kubwa pale 'game plan' zao zikifeli rejea.

Newcastle 4- 0 Psg

Bayern Munich 8 -. 0 Barcelona

Manunited 8 - 2. Arsenal

Mancity 6 - 2 Man United..

Liverpool 5 -0 Man United

Ujerumani 7 - 0 Brazil

Mancity 4 - 1 Arsenal

Hii ya Simba pia itapita tu japo itabaki kwenye historia.

Mbio za mnyama Simba kubeba ubingwa msimu wa 2023/2024 zipo palepale, Uto...msisahau hilo.
Nakusalimia Ntani. 😀
 
Back
Top Bottom