Mfufua Nyuzi
JF-Expert Member
- Mar 11, 2024
- 412
- 395
5Yaani uto amfunge simba tatu? 😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
5Yaani uto amfunge simba tatu? 😀😀
😄Mgeni rasimi ameifungua shughuli, na sasa tunaweza kuendelea na sherehe.
Niombe radhi kwa usumbufu uliojitokeza dakaki ya tatu ya sherehe.
😄😄😄🖐Nipoo mimi furaha yangu illikua ni Kibu tuu kamuharibia siku jujui jiara....
Any way tumepoteza....
Imeisha hyooo
Halijaingia vizuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lle goli la 5 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dadeki
Ila na wewe hahahah...😄😄😄🖐
Tulikuwa hatujazaliwaIla na wewe hahahah...
Fufua na mechi za elfu 2012 ubalance
Zee zima ww wadanganye wenzio...Tulikuwa hatujazaliwa
Mwasibu yupo ofisini mida hii anakagua hasara ya usajili wa Mudathir 😄
Watu bhnNimeamua tu kuufufua uzi
Wenyewe walikuwa busy kushabikia Mamelodi.Nimeamua tu kuufufua uzi