Mfufua Nyuzi
JF-Expert Member
- Mar 11, 2024
- 412
- 395
5Yaani uto amfunge simba tatu? ππ
πMgeni rasimi ameifungua shughuli, na sasa tunaweza kuendelea na sherehe.
Niombe radhi kwa usumbufu uliojitokeza dakaki ya tatu ya sherehe.
ππππNipoo mimi furaha yangu illikua ni Kibu tuu kamuharibia siku jujui jiara....
Any way tumepoteza....
Imeisha hyooo
Halijaingia vizuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lle goli la 5 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dadeki
Ila na wewe hahahah...ππππ
Tulikuwa hatujazaliwaIla na wewe hahahah...
Fufua na mechi za elfu 2012 ubalance
Zee zima ww wadanganye wenzio...Tulikuwa hatujazaliwa
Mwasibu yupo ofisini mida hii anakagua hasara ya usajili wa Mudathir π
Watu bhnNimeamua tu kuufufua uzi
Wenyewe walikuwa busy kushabikia Mamelodi.Nimeamua tu kuufufua uzi