FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

 
Ulijuaje?
 
Tupo live πŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ–€πŸ–€πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•Ί


Nabadooooooo πŸ•Ί


Cc Smart911
 
Ulijuaje?
Kaka Mimi nimeanza kuingia uwanjani mechi kubwa nikiwa na miaka 5 tu, huwa naangalia performance na morali ya timu versus wapinzani wao. Na daima nanyoosha maelezo, nasema ukweli tupu, wenye akili ni Yanga huwa wanazingatia maneno yangu!

Mechi hii ya Derby ya Simba 1-5 Yanga niliichungulia kwenye bakuli la maji nikaona goli 5 tu za Yanga nikaweka wazi kabla ya mechi kuchezwa ila si kila mtu alisoma na kuamini.

Mechi ya Derby tarehe 19 October naiona droo japo Yanga ina nafasi zaidi ya kushinda, naziona goli 2 au 3 za Yanga.

Derby itakuwa mechi ngumu na iwapo Yanga itafunguka sana inaweza kufungwa. Yanga inapaswa kucheza kwa kuiheshimu Simba japo ni timu dhaifu.

Yanga inapaswa kuwa na nidhamu ya kukaba Simba kuanzia juu kwa dkk tisini na kuhakikisha simba hawachezi kitimu.

Yanga ihakikishe Debora na Kibu hawachezi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…