Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
πππππππππππππMnajifariji maskini...hahahaha mmevurugwaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππππππππMnajifariji maskini...hahahaha mmevurugwaa
Nyinyi mzee magoma anataka kuwauwaaaMakolo watajifanya hawajaona huu uzi, subiri niwaite
sumbai Mtoto halali na hela Dr Restart cocastic Manyanza min -me OscarkambonaJr
Unahusu niniMakolo watajifanya hawajaona huu uzi, subiri niwaite
sumbai Mtoto halali na hela Dr Restart cocastic Manyanza min -me OscarkambonaJr
Awauwe tu! Mimi ni shabiki wa SingidaNyinyi mzee magoma anataka kuwauwaaa
Utajui hujuiUnahusu nini
πππAwauwe tu! Mimi ni shabiki wa Singida
GAMONDI is a professional coach, ameenda uwanjani kuangalia Makolokwinyo wakicheza unategemea Nini?
Leo ni kichapo tu Cha mbwa Koko! Yanga 3 - Kolowizard Mbumbumbu Simba fc 0! Hiyo imeeeeeeeenda!
Hatutaki lawama za refa Simba itakufa kiume Tena Leo kama kawa, mkandaji mkubwa wa kwanza ni Feitoto Kwa bao lake la uchungu kule CCM Kirumba lililowalaza Simba na viatu huyo Kibu alibahatisha tu Yanga ikiwa haiko mchezoni na Leo atakutana na Ibra Bacca ambae mechi Ile hakucheza tutaona jinsi Kibu D atarukaruka tu uwanjani kama maharage!
Yanga ni baba wa boli Tz Kwa Sasa namuona Max Nzengeli akifungua booster zaidi leo, makolo watamkoma!
Aziz Ki ana goli mbili za faulo! Leo kama sio Yanga 5 - Simba 0 sijui labda refa akatae magoli kama kule Mkwakwani na Leo hatukubali ujinga wa marefa kuibeba Simba!
Ulijuaje?GAMONDI is a professional coach, ameenda uwanjani kuangalia Makolokwinyo wakicheza unategemea Nini?
Leo ni kichapo tu Cha mbwa Koko! Yanga 3 - Kolowizard Mbumbumbu Simba fc 0! Hiyo imeeeeeeeenda!
Hatutaki lawama za refa Simba itakufa kiume Tena Leo kama kawa, mkandaji mkubwa wa kwanza ni Feitoto Kwa bao lake la uchungu kule CCM Kirumba lililowalaza Simba na viatu huyo Kibu alibahatisha tu Yanga ikiwa haiko mchezoni na Leo atakutana na Ibra Bacca ambae mechi Ile hakucheza tutaona jinsi Kibu D atarukaruka tu uwanjani kama maharage!
Yanga ni baba wa boli Tz Kwa Sasa namuona Max Nzengeli akifungua booster zaidi leo, makolo watamkoma!
Aziz Ki ana goli mbili za faulo! Leo kama sio Yanga 5 - Simba 0 sijui labda refa akatae magoli kama kule Mkwakwani na Leo hatukubali ujinga wa marefa kuibeba Simba!
Maneno yakatimiaUtabiri wangu: Leo simba tutafungwa goli za kutosha. Na baada tu ya kufungwa, uongozi wa klabu utamtimua kocha Robertinho.
DoneYanga 5
Tatu malogo 0
πYaani uto amfunge simba tatu? ππ
Kumbe yanga mpaka Sasa wanajiona no Bora kuliko Simba, inasikitisha sana
Tunaomba utabiri wako Tena,Utabiri wangu: Leo simba tutafungwa goli za kutosha. Na baada tu ya kufungwa, uongozi wa klabu utamtimua kocha Robertinho.
Kaka Mimi nimeanza kuingia uwanjani mechi kubwa nikiwa na miaka 5 tu, huwa naangalia performance na morali ya timu versus wapinzani wao. Na daima nanyoosha maelezo, nasema ukweli tupu, wenye akili ni Yanga huwa wanazingatia maneno yangu!Ulijuaje?