last Commando
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 233
- 304
Aliyefungua ni Musonda,mwali alishawahiwa.Mgeni rasimi ameifungua shughuli, na sasa tunaweza kuendelea na sherehe.
Niombe radhi kwa usumbufu uliojitokeza dakaki ya tatu ya sherehe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tuna Imani na yangaaaa[emoji169][emoji169][emoji169]!
ibra bacca kachezeshwa?Dickson job asipotolewa mapema leo yanga tutapigwa tuchakae
Upe muda wakatiLeo Simba lazima wakae.Ninasubiri magoli ya Aziz Ki.
Subiri muone, afu huyo Kibu aache sifa😀Game ni Droo
chunga punda
Kutoka Kumunyange Ngara Kagera....Kibu dengaaaaaaaa
Kwa kitu gani na wewe? lile goli hata mtoto wa miaka minne anafunga.Wakulaumiwa ni kibu
Pepo la simba Sheeendwaaa😖😖
Ndoto za mchana.