last Commando
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 233
- 304
Hii mechi imejaa ushirikina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyefungua ni Musonda,mwali alishawahiwa.Mgeni rasimi ameifungua shughuli, na sasa tunaweza kuendelea na sherehe.
Niombe radhi kwa usumbufu uliojitokeza dakaki ya tatu ya sherehe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tuna Imani na yangaaaa[emoji169][emoji169][emoji169]!
ibra bacca kachezeshwa?Dickson job asipotolewa mapema leo yanga tutapigwa tuchakae
Upe muda wakatiLeo Simba lazima wakae.Ninasubiri magoli ya Aziz Ki.
Subiri muone, afu huyo Kibu aache sifa😀Game ni Droo
chunga punda
Kutoka Kumunyange Ngara Kagera....Kibu dengaaaaaaaa
Kwa kitu gani na wewe? lile goli hata mtoto wa miaka minne anafunga.Wakulaumiwa ni kibu
Pepo la simba Sheeendwaaa😖😖
Ndoto za mchana.