FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

Kila la kheir Simba... Eneo la ulinzi lipunguze presha na masihara, Bado uzuiaji wetu ni mtihani, timu kubwa haipaswi kuruhusu magoli kila mechi.
 
hii inaitwa kujifariji
umiliki usio na faida wakati golini kwako watu wanatembea kama sebuleni unabaki okoa hatari tu

unaangalia soka kwa pressure muda wote wananchi wako sebuleni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…