Simba watafute kocha mzuri muumini wa kuuchezea mpira tuwe tunashuhudia derby nzuri, sio hili kocha lao la kupaki bus upuuzi mtupu.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo ndio maana wanakuwa wanatawaliwa sana?!
Acha malalamiko.
Upo sahihi mkuu ngoja tuone kipind cha pili itakuajeWaamuzi wamekuja na maelekezo, dk za mwanzoni mshika kibendera alisema pacome ametoa mpira wakati mpira ulikwa ndani, Penati nayo tunanyimwa.
hii inaitwa kujifarijiUkikaba kwa kuzia nafasi maana yake haumfati kumkaba mtu moja kwa moja anapokuwa na mpira badala yake munaondoa mianya ya muendelezo wa pasi za mashambuli na mnanyang'anya mpira pale ambapo adui amesogea zaidi na hana machaguo mengi ya kupeleka mpira.
Kwahiyi ni lazima adui aonekane kukaa na mpira kwa muda mrefu( umiliki mkubwa) ambao kimsingi unakuwa ni umiliki usio ma faida.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmurike na kimwekumweku.
HT 1-1Matokeo wakuu huku tuliko Tanesco hawajatuacha salama
Narudia kuangalia hapa namna goli la Simba lilivyofungwa...Kafanyaje wakati wachezaji wako wamemuacha Kibu anapiga kicwa free kabisa.
Game zuri japo wamecheza kwa low temple.
Huyu Refa alishafungiwaga kwa ajili ya kuvurunda baadhi ya mechi msimu uliopita, nashangaa msimu huu wamemuamini tena kumpa hii derby...inasikitishaKuna haja ya TFF kuleta Marefa wenye ueledi wakati wa derby
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]utopolo unateseka ukiwa wap?Simba watafute kocha mzuri muumini wa kuuchezea mpira tuwe tunashuhudia derby nzuri, sio hili kocha lao la kupaki bus upuuzi mtupu.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
kweli mkuu maana kapiga chenga huku akijua refa kasha piga filimbi ila bado watu wanashangilia hii ajabuInonga ni Mshehereshaji mzuri sana.
Mpira wa bongo marefa ndio wanaharibu.Waamuzi wamekuja na maelekezo, dk za mwanzoni mshika kibendera alisema pacome ametoa mpira wakati mpira ulikwa ndani, Penati nayo tunanyimwa.
Faller mwenyewe kima wewe...We **** na lirefa lenu
MnayemtakaAingie nani?