[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni Kama vile ndoto kumbe ni kweli tumebondwa...
Ukatili kama huu ndio unafanya tukimbie humu jamvini.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mpira ni dhambi jamani
Kapumzike best!Point ni zile zile 3 only 3...na bado tutawashusha kileleni
Aisee ila acha kila mtu apambanie kinachompa furahaLeo watanyolewa sana mtaani nakwambia😂😂😂
Ninyi mashabiki ndio mmekuwa mkimpa pressure.Kocha wa Simba kazingua kumuanzisha manura
Kiutani utani tu mzee mwenzangu.Damn!
I never thought this was even possible!