Objective football ya Robertinho imetuzingua Sana tu..zimbwe ana sema formation mpya ya kuchezesha viungo zaidi imewa mix hadi kuja kustuka wamekula 5
😆😆😆Kwani shem Shimba ya Buyenze ww ni timu gani? Au mchangia popote...
5-1? PleaseMmebahatishaaaaaaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haha asiyekubali kushindwa si mshindani, leo tumekubali tumekuwa vibonde wenu hongereni watani, ila huyu kocha namuombea huu msimu mzima aote ndoto mbaya tu shenzi zake
Sio kweli simba ni wabovu ile penati ya inonga ni clear penati kabisa manula kaanza mechi wakati bado hajawa fit kabisa Ngoma namba sita hawezi kabisa labda awekewe mtu wa kumkabia kapombe biashara yake imeisha mohamed hussein anachezea uzoefu tu ila naye kachoka inonga hajiamini kabisa chamelon mzito kweli robertionho kafanya timu imekua desorganizer kabisayanga kaendeleza taratibu yake ya kununua waamuzi na kutoa bahasha kwenye timu pinzani leo tena yale yale
Tano kwa moja unalilia chooni mda HUU au?Utopoooooooloooooo mixa utopoloooooooo
Naona angekuwa na uwezo wa kumtimua kocha, angemtimua sasa hivi. Sio kwa kilio hikiYani ni huzuni kwakweli [emoji119][emoji119] kocha hata asitie neno akweee pipa arudi kwao no excuse
Niende wapi? Ushaniona mm nakimbiaga uzi....Upo kumbe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ko unataka nambia zile tuhuma za yanga kununua mechi si kweli, yanga kutoa bahasha nazo ni za kupuuzwaSio kweli simba ni wabovu ile penati ya inonga ni clear penati kabisa manula kaanza mechi wakati bado hajawa fit kabisa Ngoma namba sita hawezi kabisa labda awekewe mtu wa kumkabia kapombe biashara yake imeisha mohamed hussein anachezea uzoefu tu ila naye kachoka inonga hajiamini kabisa chamelon mzito kweli robertionho kafanya timu imekua desorganizer kabisa
Nipo live JF sitoi hata chozi...kwani nyie hamjawahi kufungwa na Simba??? Tena 6?? So ni kupokezana tuuu hakuna jipyaTano kwa moja unalilia chooni mda HUU au?