Anaanda waraka wa shutuma,matusi na kufukuza watu.Popoma kafia wapi
Sikuwezi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],
Wanataka tuvurugikiwe hata kama hatuna muda huooo...Pole ya nini??
Simba damuni,
Mbona tupo ok[emoji16]
Pole mjukuu.Sikuwezi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],
Nicheke,ninenepe___timu yangu simba naipenda[emoji177][emoji257][emoji8]
Acha kufananisha Al Ahly na vyura.SIMBA semeni ukweli kati ya Ahly na YANGA nani zaidi?
Aaawww mimi zaidi mrembo Nifah π₯°π₯°π₯°π₯°π₯°Mi mwenyewe nakupenda πππ
GENTAMYCINE yupo mafichoni anakusanya taarifa za kijasusi kuhusu kilichotokea leo.Popoma kafia wapi
Kitu pekee ambacho Yanga na Mwamuzi walikifanya kwa ubora leo ni kuhakikisha Kibu anatoka mapema uwanjani. Jitihada zilikuwa nyingi kwa msaada wa mwamuzi.Yellow card na penalt kipi zaidi b...? C'mon
Hai
Naunga mkono hoja ππGENTAMYCINE yupo mafichoni anakusanya taarifa za kijasusi kuhusu kilichotokea leo.
Kuanzia kesho jiandae kwa uchambuzi kupitia nyuzi nyingi mfululizo kuhusu hili tukio.
Simba leo wameleta wacheza netiboli kuja kucheza mchezo wa mpira wa Miguu ,Yanga imepeleka wacheza mpira wa miguuTarehe 5 Goli 5 Ng'ombe 5