tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Kuna via viashiria hivoJe leo yanga wamenunua hii mechi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna via viashiria hivoJe leo yanga wamenunua hii mechi
Mbovuuuuuuuu 😆Yanga 5 - 1 Simba
Simba ni.....🤪
Imeisha hiyoooooo,Pole mjukuu.
Mpira ndivyo ulivyo japo khamsa kidogo ni nyingi sana.
Tuna viongozi wapuuzi sana kocha kapangiwa kumuanzisha Manula.Unamuhamzisha manula yupo out for 1y hana hata game moja ya majaribio what fvckng coach[emoji706]
Kibonde1. Yanga 5 - 0 Djibout
Djibout wabovu.
2.Yanga 5 - 0 KMC
KMC mbovu
3. Yanga 5 - 0 JKT
JKT mbovu
4. Yanga 5 - 1 Simba
Simba ni.....[emoji2957]
Hawa jamaa watatubeza mpaka siku tunafunga huu mwaka....Mtaani kuna watu wanajitakia vilema visivyo na ulazima
Unakuta shabiki wa Uto anakusumbua kelele nyingiii bughdha kibao unakosa hadi raha
Ukimcheki mdomoni tayari ana pengo (clean sheet haipo) na mtaani wanamuita pengo.
Mtu kama huyu anaweza kuipa serikali sababu ya kuingia upya bungeni kutunga ibara nyingine ya sheria kwa ajili ya kuwalinda watu wa Yanga.
Alimiss mishuti ya key..!Waliompanga kucheza ndo wapumbavu
Kuimba kupokezana, ukicheka ujue kuna kulia pia.Just a very bad day in the office, kama kipigo kweli tumetandikwa, tena tumetandikwa haswaa, hakika kupata usingizi usiku wa leo ni ngumu, ikibidi tutafute vidonge vya usingizi angalau vitusaidie kupitisha haya masaa ilimradi pakuche, na hata kesho pakikucha sijui tutakimbilia wapi...
Kazini itakuwa moto...
Mtaani patakuwa moto...
Kwenye daladala itakuwa moto...
Kujifungia ndani nako patakuwa pamoto labda usiwashe radio, wala kusikiliza TV, inshort ikibidi na masikio tuzibe tusisikie kelele za nje, vinginevyo hali ni mbaya...
Na hili baridi la leo Dsm, kweli mtihani tumepewa, tukiuvuka huu tutaamka wanaume zaidi ya jana...
All in all, potelea mbali, Simba SC Nguvu Moja...
Wacha upepo wa kisuli suli upite ..
Bahari imetulia Ila kuna watu macho yamevimba mda HUU wanalia balaaYanga mtuliza bahari,leo bahari iko shwari
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Najua mlivyo na roho mbaya mtaziona hizo tu, hamwezi kuona hata rafu iliyomtoa Kibu uwanjani haikutengwa, ikawa tu mpira wa kurusha.Inonga alipaswa apewe red card kwa kumchezea rafu mtu wa mwisho
Kapombe nae alimshika mtu mguu kwenye box ila refa akambeba kipindi cha kwanza.
🖐️💛💪!Eeehee...
Yani unakuta mtu ana niqoute anataka niendike akipendacho ili awe mtani wangu...sasa mimi nimekuja kubembeleza wa kutaniana nae?? Hahahah watuache bwanaNawashangaa wanavyoumia wao[emoji23][emoji23],
Yanga sijawahigi waelewa[emoji16], maana wanatufosi tuumie kama wao
Na Manura kamanuliwa Penati ile ulimuona Manura alivyomanukaTuna viongozi wapuuzi sana kocha kapangiwa kumuanzisha Manula.
Hii ni salamu wanapelekewa Al Ahly wajiandae kisaikolojia wale waliyoshindwana kufungana mwenzake kala khamsah.1. Yanga 5 - 0 Djibout
Djibout wabovu.
2.Yanga 5 - 0 KMC
KMC mbovu
3. Yanga 5 - 0 JKT
JKT mbovu
4. Yanga 5 - 1 Simba
Simba ni.....🤪
Mbona tupo,tunawatizama mnavyorukaruka[emoji23]