Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Pole sana mkuu. Agiza kinywaji chochote ntalipia.Nawashangaa,
Mie waniache,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkuu. Agiza kinywaji chochote ntalipia.Nawashangaa,
Mie waniache,
Nimefrahi,simba Dume hanaga makolombwezo,Helloowww [emoji2772][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169]! [emoji1787]
Huyo ni Yanga lialia Mzee wangu 😆😆😆Aibu ya nini mama?. Ulitegemea vile mlivyo mdebwedo vile kuifunga YANGA? Kasemeleeni kwa Ihefu
Agiza kinywaji chochote upendacho mkuu, bili leta kwangu.Yani unakuta mtu ana niqoute anataka niendike akipendacho ili awe mtani wangu...sasa mimi nimekuja kubembeleza wa kutaniana nae?? Hahahah watuache bwana
Acha kutupia lawama viongozi, hakuna kiongozi aliyelazimisha manura acheze ila ni ujinga wa makocha wenyewe juu ya kumuanzisha mchezaji anakaribia mwaka hajacheza kuja kucheza game kama hii,..Tuna viongozi wapuuzi sana kocha kapangiwa kumuanzisha Manula.
Watu wanalia vibaya huku majumbani hakulaliki kabisa 😆😆😆 sio wanaume sio wanawake wote wanaomboleza
Nimefrahi,simba Dume hanaga makolombwezo,
Moja inatosha.
Wanasemaga goal tano tunawafunga wabovuShukran Mtani. [emoji120]
Tukisema timu yenu mbovu muwe mnakubali. [emoji28][emoji28]
Kapumzike mjukuu. Hapa utaendelea kuumia tu. Ni mchezo tu usije ukajipa presha bure.Nimefrahi,simba Dume hanaga makolombwezo,
Moja inatosha.
Hongereni kwa ushindi Watani.
Asiyekubali kushindwa sio mshindani.
Ila mabao yamezidi kipimo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Woiiiiih
Huwezi ukalinganisha yanga na Al Ahly!! Tofauti ni kama ya usiku na mchana!! Nawapongeza yanga kwa dhati, lakini wao kujilinganisha na Al Ahly bado sana!! Acha Al Ahly hata wao kudhani ni bora zaidi ya simba siyo kweli. ila kwa leo game plan waliyokuja nayo imeipiku ile ya Simba!! Usisahau Ujerumani iliwahi kumfunga Brazili 7-0 tena akiwa kwao!! Hilo pekee halikuwafanya wao wawe bora kuliko Brazil japo kwa mechi hiyo walikuwa bora!!SIMBA semeni ukweli kati ya Ahly na YANGA nani zaidi?
Fukuza kocha au tatizo liko wapi?Sina neno, Goli 5 ni nyingi sana
Zile ngonjera utege hajawahi kufungwq na Yanga huko kwenu bado zipo swahiba 😃Hivi nilisikia tumeahidiwa ng'ombe sehemu eee. 😅😅
🐄🐄🐄🐄🐄
Wenzio yanga waliganda hapa wamenunuliwa mo energy wamerudi makwao[emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana mkuu. Agiza kinywaji chochote ntalipia.